Imeandikwa na J Nastranis
NEW YORK (IDN) – Kulingana na utafiti wa tume ya UNFPA, United Nations Population Fund, utumizi wa chini ya dola thelathini kwa kila mtu kwa kila mwaka unaweza kufanya maajabu kwa afya na elimu ya vijana .
Ripoti imechapishwa kwa Lanceti siku moja kabla ya mikutano ya World Bank Spring mjini Washington D.C.kuanzia mwezi wa Aprili 21 hadi Aprili 23, 2017, ambapo viongozi wa kifedha na maendeleo kutoka nchi 188 wamepangiwa kuchangia umuhimu wa kuwekezea vijana .